Ads 468x60px

.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

FOLLOW US ON TWITTER

FOLLOW US ON TWITTER

.

Tuesday, September 18, 2012

RAIS WA DASTAMINA SHEE SHE SHEEEETAH..!!! AFANYA MATUSI YA AINA YAKE..



msanii wa muziki wa kizazi kipya almaarufu kama SHETTAH  amewaacha midomo wazi watanzania wengi baada ya kumzawadia mwanae wa kike aliyetoka arobaini hivi karibuni gari aina ya opa yenye thamani takribani millioni 12 kwa ajili ya matumizi ya kwendea kliniki na safari nyingine ndogo ndogo kwa ajili ya mwanae huyo.
"Nisingependa mwanangu akodishiwe Tax au kudandia lift kwenye gari za watu wakati wa kupelekwa clinic na sehem mbalimbali....hivyo ndio maana nikaamua kujidhiki na kumnunulia binti yangu gari hii na pia kuudhihirishia uma ni kiasi gani nampenda na kumthamini mwanangu kipenzi" Alinena Rais huyo wa Darstamina. 

0 comments: