Saturday, September 29, 2012
Friday, September 28, 2012
Thursday, September 27, 2012
HAPPY BIRTDAY TUNECHI-- LIL WAYNE...
Leo msanii wa hip hop nchini marekani, Dwayne carter 3, lil' wayne amesherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 30. kwa kuwa turning 30 ni mark between youth and adult, leo ningependelea kuwaletea makala maalum kuhusu lil' wayne, ikiwa ni pamoja na biography yake na his first single wakati anaingia kwenye gemu.....
check hapa......... first wizzy song and video............
Baada ya kucheck video ya hapo juu, utaweza ukagundua kua hapo wizzy dreads zake hazikuwa ndefu sana waka ngozi yake haikupambwa na tattoes kama alivyo sasa..!!! hapo ilikua mwaka 1999 ambapo track hiyo alimshirikisha Juvenile na B.G. kila kitu kinahitaji juhudi na umakini katika kukifanikisha, ukiangalia sasa lil' wayne ni mtu mwenye maendeleo makubwa sana ikiwa pamoja na kumiliki cash money records, skate boarding na guiter playing na pia amekuwa akiwainua wasanii wengine wachanga kama Drake na Nick Minaj. ni ndani ya miaka 13 wizzy ameweza kufanya yote haya wakati hapo aliiachia ngoma hiyo soon after his 17th birthday..!!!
BAADA YA P SQUARE KUMTEMA MR. MAY D AANZISHA LEBO YAKE YA MUZIKI
RICK ROSS KUTUA NDANI YA DAR ES SALAAM KATIKA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2012 OCTOBER 6
Wednesday, September 26, 2012
Monday, September 24, 2012
UWOYA AMFUATA MUMEWE RWANDA..
Irene Pancras Uwoya, anadaiwa kutimka Bongo huku taarifa zikidai yupo nchini Rwanda kwa ajili ya kwenda kumwangukia mumewe Hamad Ndikumana ‘Kataut’na nyingine zikisema yupo Msumbiji. Kwa mujibu wa vyanzo makini viwili ambavyo vipo karibu na staa huyo, Uwoya hayuko Bongo, wikiendi iliyopita alikwenda kwa baba Krish kwani kwa sasa ana mawasiliano mazuri na mzazi mwenzie huyo. Wakati chanzo kimoja kikieleza hayo, kingine kikarukia na kutonya kuwa Uwoya ambaye hivi karibuni alikuwa ‘lokesheni’ akirekodi filamu yake ya Apple, hakwenda kwa Ndiku bali yupo nchini Msumbiji. Baada ya kupata maelezo hayo, chanzo cha habari hii kilifanya jitihada za kuzungumza na Uwoya lakini hakupatikana, jambo lililosababisha mwanahabari wetu kufunga safari hadi nyumbani kwao Mbezi Jogoo jijini Dar na kumkuta msichana aliyejibu kuwa mama Krish hayupo na hajui aliko. source: Kwetu Bongo |
RECHO AZUNGUMZA KUHUSU UVUMI ULIOENEA JUU YA PICHA YAKE YA PAMOJA NA LINNAH NA DIAMOND ILIYOZAGAA MITANDAONI
Subscribe to:
Posts (Atom)