Ads 468x60px

.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

FOLLOW US ON TWITTER

FOLLOW US ON TWITTER

.

Monday, November 5, 2012

DOGO ASLAY ATEULIWA KUWANIA TUZO ZA KORA....


Msanii mdogo anayekimbiza wenzake wadogo wanaokuja hapa Bongo (Aslay), ametajwa kama msanii mpya katika tuzo za Kora mwaka huu (Best Male Newcomer). Wimbo uliompeleka katika tuzo hizo unaitwa NIWE NAWE, Aslay anapambana na wasanii kutoka nchi nyingine kama Uganda, Burkina Faso, Zambia, Nigeria na Afrique Du Sud. Mbali na Dogo Aslay tunao wasanii wengine wakubwa kutoka Tanzania hapa kama Lady Jay Dee, Saida Karoli na Ali Kiba...

0 comments: