kipande cha picha kikionyesha sehemu ya gari la Diamond ilivyoumia.... |
sehemu ya mbele ya gari hiyo.... |
"unajua mwisho wa mwaka tena huu, watu wanatoa kafara zao bahati mbaya zinatukuta watu kidogo manguli hazituumizi sana, wepesi wepesi wangeondoka mzima mzima kabisa wangebaki story tu alikufa na ajali, sababu hata ukitazama wanaopata ajali ni wale wanao hit, zinafeli hahhaaaaa i was just kidding." alisema Diamond
0 comments:
Post a Comment